Wednesday, November 8, 2017

Pongezi Miaka Miwili kwa Uongozi wa Awamu ya Tano.

Bukombe yaungana na wananchi wote Tanzania kutoa  Pongezi kwa Uongozi wa awamu ya Tano wa Mhe.Rais John Joseph Pombe Magufuli katika kipindi cha Miaka Miwili mabadiliko makubwa yamefanyika ambayo yanapeperusha vizuri bendera ya Tanzania. Mungu endelea kubariki Viongozi wote,wananchi kwa ujumla wake ili gurudumu la maendeleo lisonge mbele.

No comments:

Post a Comment