Bukombe yaungana na wananchi wote Tanzania kutoa Pongezi kwa Uongozi wa awamu ya Tano wa Mhe.Rais John Joseph Pombe Magufuli katika kipindi cha Miaka Miwili mabadiliko makubwa yamefanyika ambayo yanapeperusha vizuri bendera ya Tanzania. Mungu endelea kubariki Viongozi wote,wananchi kwa ujumla wake ili gurudumu la maendeleo lisonge mbele.
No comments:
Post a Comment